Katika kutimiza lengo la serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dk. John Magufuli, la kuhamia mjini Dodoma, awamu ya kwanza ya watumishi wa Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeondoka hii leo kuelekea mkoani humo.Gari hili limetumika kubeba vifaa mbalimbali vya ofisiVifaa vikiendelea kupakiwa kwenye gari hilo.Baadhi ya vifaa vya ofisi.Safari ikaanza rasmi.
Chapisha Maoni