Waziri wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiwajulia hali wamama waliolazwa na watoto wao katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ilala Amana wakati wa ziara yake katika Hospitalini hapo ili kujua hali ya utolewaji huduma za afya jana jijini Dar es salaam.
Waziri wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiwajulia hali wamama waliolazwa na watoto wao katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ilala Amana wakati wa ziara yake katika Hospitalini hapo ili kujua hali ya utolewaji huduma za afya jana jijini Dar es salaam
Waziri wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee na
Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akijiridhisha na hali ya upatikanaji wa dawa zilizopo katika stoo ya dawa ya Hospitali ya Rufaa
ya Mkoa Ilala Amana wakati wa ziara yake Hospitalini hapo ili kujua hali ya
utolewaji huduma za afya jana jijini Dar es salaam.
Waziri wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee na
Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akijiridhisha na hali ya upatikanaji wa dawa zilizopo katika stoo ya dawa ya Hospitali ya Rufaa
ya Mkoa Ilala Amana wakati wa ziara yake Hospitalini hapo ili kujua hali ya
utolewaji huduma za afya jana jijini Dar es salaam.
Waziri wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee na
Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akikagua dawa kama ina nembo ya GoT (Government of
Tanzania) inayopigwa chapa na Bohari Kuu ya Madawa ( ili kuepuka uchepushwaji
wa dawa hizo kwenye vituo vya kutolea huduma za afya vya Serikali wakati wa
ziara yake katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ilala Amana ili kujua hali ya utolewaji
huduma za afya jana jijini Dar es salaam.
PICHA
NA WIZARA YA AFYA.
Chapisha Maoni