SIKU sita baada ya Mahakama ya Wilaya ya Ilala kumwachia huru MWIMBAJI mahiri wa muziki wa injili na mfanyabiashara Emmanuel Mbasha dhidi ya kesi ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili, ametoa sadaka ya shukurani kwa Mungu.
Mbasha akiimba |
akiombewa na Mchungaji Mwakiborwa |
"Septemba 27 itakuwa imeweka historia nzuri kwa muimbaji wa muziki wa Injili Emmanuel Mbasha, Hii ni baada ya kwenda kumtolea Mungu shukrani kwa kushinda kesi yake," iliandikwa.
Akibubujikwa na machozi ya furaha |
akiwa na wadogo zake |
Masanja akimtukuza Mungu katika ubora wake |
Sauti ya Mbasha akiongea na kueleza furaha yake cheki …Unclejimmytemu na msikilize akiongea na Reporter wake Hezron Marwa.
Mbasha akiwa na Masanja |
Source: Unclejimmytemu.blogspot.com
Chapisha Maoni