Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili
(MNH) leo imefanya hafla fupi ya kuwakabidhi cheti wafanyakazi bora 53
waliochaguliwa kati ya 3200.
Akizungumza katika hafla hiyo, Kaimu Mkurugenzi wa
MNH, Profesa Lawrence Museru alisema wafanyakazi hao walifanya vyema mwaka
2015/16.
Mbali ya cheti hicho wafanyakazi hao pia wamepewa
fedha kiasi cha Sh. 500,000 kama motisho ili wazidi kufanya kazi kwa bidii
kuongeza mafanikio ya hospitali hiyo katika kuhudumia wagonjwa.
Furaha isiyo kifani, goti mpaka chini.
Hongera sana mama
Mmefanya kazi nzuri mno
Washiriki wakifuatilia jambo kwa makini
Chapisha Maoni