NI swali ambalo mashabiki wake wamebaki wakijiuliza, baada ya muimbaji huyo mahiri wa muziki wa injili nchini, kuweka picha iliyoacha maswali kwa mashabiki wake huku wengine wakimpa pongezi.
Mbasha ametupia picha hiyo katika ukurasa wake wa Instagram akiwa na dada aliyevalia vazi la bibi harusi huku mwenyewe akiwa amevalia suti bomba.
Watu wengi waliipenda (like) picha hiyo ambapo hadi kufikia jioni ya saa 11 walikuwa jumla ya 739.
Wengine walitoa pongezi kwa mwimbaji huyo anayetamba na wimbo wake wa haribu mipango ya shetani.
Itakumbukwa kwamba hivi karibuni alitengana na aliyekuwa mke wake Flora Mbasha baada ya kuisha kwa kesi ya ubakaji iliyokuwa ikikambili.
Yafuatayo ni maneno ya mashabiki wake walioandika katika ukurasa wake huo.
hellenu36Nguo ulizovaa😂, Umependeza Sana Sana!! Je huyo ni New wife? 😂Maana PC imekaa kiharusi harus,ila hamjashikana mkono kuashiriria mke na mume. Kiukweli Mmependeza Sana Alafu Mnaendana😁😁
amydah_Umeoa kaka
rynbenyIko siko yako tu, nawe ubarikiwe....... @e.mbasha
jmwami11big up
newtnmoyevepe ndo shem mupya au. tuambie mashabiki zako tunataka kujua
jeska_josephUmeowa baba
luckystone_tzumeoa mzee @e.mbasha mbasha
racheltzsammyCongrats
dadymapundaShemelaaaa
Majibu ya maswali haya anayo Mbasha mwenywe tusubiri.
Chapisha Maoni