Recent Post


 


moja

Responsive Advertisement
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj9kWc_gELNc9RYZjMWP8jAjZCuDjTsbsxtURq90hsHBTpmdWfAAvLxbHWajeXG6JCuxsvKZJ3ZwMq4xIYz4oUh0YcEMzZvai7uNsB0YC2pgypgg4VWNhqCu9ew1gR8ZGbOH4JVnYQiRduJ/s640/matnde.jpgWizara ya afya Maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto, kupitia mpango wa taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele, inawajulisha wananchi wote wa mkoa wa dar es salaam,

Kuwa kuanzia tarehe 28 nov hadi 3 dec 2017,itaendesha kampeni ya kugawa Kingatiba za magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kama minyoo ya tumbo, matende na mabusha au ngirimaji.

Walengwa ni wananchi wote wenye umri kuanzia miaka 5 na kuendelea.

Kila mwananchi wa mkoa wa Dar es salaaam jitokeze kupata Kingatiba hizi.

huduma hii inatolewa bila malipo yoyote katika vituo vyote vya Afya na Hospitali za serikali na binafsi, pamoja na Vituo maalum vilivyotengwa kama Vituo vya mabasii, ofisi za serikali/kata, wizara na taasisi zote za umma.


-tangazo hili limetolewa na wizara ya afya Maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto

Post a Comment

saba

nane


 


sita

Responsive Advertisement