Recent Post


 


moja

Responsive Advertisement
Mkurugenzi wa MOI, Dk. Respicious Boniface (katikati) akipokea msaada huo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Spectrum Hamza Algabri.

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

TAASISI ya Tiba ya Mifupa, Mishipa ya Fahamu, Ubongo, Mgongo na Uti wa Mgongo Muhimbili (MOI) imepokea msaada wa dawa za binadamu zenye thamani ya Sh milioni 16.84.

Dk. Boniface akizungumza katika kikao hicho.

Msaada wa dawa hizo umetolewa na kampuni ya  usambazaji dawa  Wide Spectrum ya nchini Misri. 

Kikao cha makabidhiano kikiendelea

Akipokea msaada huo, Mkurugenzi wa MOI, Dk. Respicious Boniface aliishukuru kampuni hiyo kwa kuwapatia dawa hizo kwani zitawasaidia kutoa huduma kwa wale wenye uhitaji. 

Naye, Mkurugenzi wa Kampuni ya Wide Spectrum, Hamza Algabri aliipongeza MOI kwa huduma za upasuaji ambazo wamekuwa wakiwafanyia wananchi wanaohitaji na kwamba wapo tayari kuendelea kushirikiana nao zaidi. 

Tunashukuru sana

Picha zote na Veronica Romwald

Post a Comment

saba

nane


 


sita

Responsive Advertisement