Amewapa ujumbe huu vijana nchini...
"Vijana wasikate tamaa safari ya kupata maarifa ina changamoto nyingi lakini kutokuwa na maarifa/elimu changamoto zake ni kubwa zaidi tukumbuke usemi usemao; Kama unadhani elimu ni ghali, basi jaribu ujinga.
"Hivyo kila unapopata fursa au wasaa pata maarifa mapya,ulishe ubongo wako kitu kizuri kipya manufaa yake ni endelevu hata baada ya mtu kuondoka duniani"
Kajumulo ni miongoni mwa wadau wakubwa wa MATUKIO NA MAISHA BLOG, tunampongeza mno kwa hatua hiyo ya kuhitimu masomo yake.
Chapisha Maoni